Habari za Kiingereza chini ziko ndani ya vitabu vyao wenyewe Ulaya wanasema uchawi na walivyokuwa wanawahukumu wachawi mahakamani kama kesi nyingine za watuhumiwa na hii ilianza zama kwa kasi zama za kati mpaka karine ya za karibuni, waliacha kesi baada ya kuona watu wengi wametumia nafasi kusema uongo wa maadui zao na kuharibu ushahidi wa kweli.
Kesi nyingi zilihukumiwa mahakamani na watu waliologwa walisikilizwa na wachawi wakahojiwa mpaka wakapatikana na tuhuma na kunyongwa kama wameua kwa uchawi kiushahidi au kama ni kawaida kudhuru tu walikuwa wanafungwa na hata mpaka leo kesi zilizokuwa zinahukumiwa na mashitaka yalivyokuwa yanaendeshwa zipo kwenye maktaba uko Ulaya, sasa je waafrika ndo washirkina tu au wazungu na wenyewe washirikina na huko wakifanya maendeleo ya technologia na uchawi hawaachi ndo maana sasa hivi tunaona kwenye internet website zinaongezeka za watu wa Ulaya na Asia wakiuza uchawi na matalasimu ya ushirikina kama bidhaa ya kawaida na wateja wengi na wateja wanaongezeka.
Soma chini hapa nafuatilia rejea hizo uone Ulaya walianza uchawi muda mrefu sana na sasa umekuwa na kuwa wakisasa zaidi mpaka unaitwa White na Black Magic. eti white ni mzuri na black ni mbaya, sasa uchawi ni uchawi hakuna cha white wala cha black.
Kama umekwenda Hospitali na ukapimwa na kupewa madawa bila nafuu na ugonjwa haupatikani kwa vipimo vya kisayansi, pili ukilala unaota ndoto za kutisha na za kulala na viumbe au watu usiowajua au unawajua lakini chumbani hamlali wote au mnalala wote lakini unaota ndoto unaingiliwa na kufanya mapenzi na mtu au jitu au mnyama basi ni mashetani/devils.
Kama unapoanza kulala unastuka na kutigishika mwili kama kutetemeka au kuota uko unapaa au uko makaburini au unaongea mara kwa mara na watu waliokufa siku nyingi basi ni dalili za kulogwa na kuwa na majini na mapepo wabaya.
Tuwasiliane, Tutakuhudumia na Mungu atasaidia!
Email: tibaherbs@gmail.com
+255762053174/+255621870342
+255762053174/+255621870342
Main article: Witch trials in Early Modern Europe
The origins of the accusations against witches in the later Middle
Ages are all present in earlier trials against heretics, especially the
claims of secret meetings, orgies, and the consumption of babies. From
the 17th century, the idea of a pact became important—one could be
possessed by the Devil and not responsible for one's actions, but to be a
witch, one had to sign a pact with the Devil, often to worship him, which was heresy and meant damnation.By 1300, the elements were in place for a witch hunt, and for the next century and a half fear of witches spread gradually throughout Europe. At the end of the Middle Ages (about 1450), the fear became a craze which lasted more than 200 years. As the notion spread that all magic involved a pact with the Devil, legal sanctions against witchcraft grew harsher. Each new conviction reinforced the beliefs in the methods (torture and pointed interrogation) being used to solicit confessions and in the list of accusations to which these "witches" confessed. The rise of the witch-craze was concurrent with the rise of Renaissance magic in the great humanists of the time (this was called High Magic, and the Neoplatonists and Aristotelians that practised it took pains to insist that it was wise and benevolent and nothing like Witchcraft), which helped abet the rise of the craze. Witchcraft was held to be the worst of heresies, and early skepticism slowly faded from view almost entirely.
Powerful Oil na Powerful Soap tiba ya:
Kuondoa
Nguvu za giza kwenye mwili wako, nuksi na mikosi yenye chanzo cha
uchawi na hali ya kutoweza inatoweka ukiisha paka kwani unakuwa na hali
isiyo ya kawaida ya kimori na kufanya mwili uwe na hali ya kuchangamka.
Kufukuza majini kwenye mwili na kuondoa ganzi na mwili kuumwa viungo na
kuhisi vitu vinatembea mwilini. Kuondoa hali ya woga na kutojiamini na
kukata tamaa, maumivu ya kichwa na viungo vya mwili.
Mafuta haya yanatokana na mimea mchanganyiko iliyotajwa katika vitabu vitakatifu vya Injili, Taurati, Zaburi na Qur;an
Unajipaka
kila siku kwa siku saba asubuhi na jioni na Kwa uwezo wa Mungu mmoja wa
pekee mwenye uwezo utaona mabadiliko makubwa kwenye mwili wako, roho na
hata utendaji kazi wako wa kila siku.
Tuwasiliane, Tutakuhudumia na Mungu atasaidia!
Email: tibaherbs@gmail.com
+255762053174/+255621870342
+255762053174/+255621870342
No comments:
Post a Comment