- Kuota ndoto za kutisha mara kwa mara
- Kuumwa kichwa bila kupona hasa upande mmoja
- Kuhisi umebeba mzigo mabegani
- Kubanwa kifua bila sababu
- Kuwa na hofu bila sababu
- Kupenda kulala sana na masaa mengi unapenda kuwa pekee yako
- Kukata tamaa ya kuishi na kutamani kujiua
- Kujisikia mchovu muda wote
- Kuona ukungu machoni na huku hauna malaria
- Kwa mwanaume kukosa nguvu za kiume hata kama ana hamu ya kutenda tendo la ndoa
- Mwanamke kuingia hezini muda wote bila kikomo
- Kuona mke wako ana sura mbaya wakati ulimuoa ukimuona anayo sura ya kupendeza
- Kumuona mme wako ana sura mbaya wakati anakuoa ulimuona ana sura nzuri
- Kusikia vitu vinatembea mwilini na baadhi ya viungo vinatingishika bila wewe kuvitingisha
- Kuhisi kiungo kina joto lisilo la kawaida na wakati mwingine kiungo kupata ganzi
- Kupata stroke isiyoeleweka chanzo chake
- Kuongea usiku na watu waliokufa siku nyingi
- Kuota unaingia chooni na kujisaidia au kukojoa mara kwa mara na wakati mwingine unakaribia kukojoa kitandani
- Kukuta umechanjwa au una mikwaruzo mikubwa mwilini
- Kuchukia mke au mme bila sababu na akiongea utaona anaongea mambo ya kijinga na utamjibu vibaya na hapo mtaanza kugombana bila sababu ya msingi.
- Kuwa kichaa bila sababu ya kisayansi inayotambulika
- Kutoona vizuri wakati fulani na macho kuuma bila sababu zinazoonekana, hii ni kwa wanafunzi na wafanyakazi
- Kupenda machafu muda wote yaani zinaa, ulevi, fitina, n.k
- Kuota unalishwa madawa au nyama kwa mazingira usiyoelewa na watu unaowajua na usiowajua
- Kuota mara kwa mara uko makaburini
- kuota ndoto za kweli wakati wewe si mchamungu.
- Kuugua kifafa isiyo ya kawaida
- Kutoka mimba zikiwa changa bila sababu zilizothibitishwa kisayansi.
- Kupenda kufanya tendo la ndoa mara kwa mara na hata kutamani
- Kutotulia na kuwa makini kwenye kazi za kukuingizia kipato
- Kuchukiwa na bosi au watu bila sababu yoyote
- kuwa mzembe kwa kila shuguli zote za maana na faida kwako
- pesa kupotea bila kujua na katika njia za kutatanisha
- Kuhisi kama moyo unacheza cheza bila kuuma
- mwanamke kuingia kwenye hedhi bila kikomo na damu kutoka kwa wingi kama miezi miwili mfululizo bila kukoma na sababu za kisayansi zikakwama kupata jibu na tiba.
- Kustukia uko nje usiku na huku mlango umefungwa
- Tuwasiliane, Tutakuhudumia na Mungu atasaidia!Email: tibaherbs@gmail.com
+255762053174/+255621870342
MOYO WENYE HUSUDA, CHUKI, NIA YA KULIPIZA KISASI,UBINAFSI HAUWEZI KUWA NA MWILI WENYE AFYA NJEMA NA NGUVU ZA KUTOSHA KUFANYA AKILI ZIWEZE KUBUNI NJIA ZA KUZALISHA MALI. UKITAKA KUWA NA FURAHA SAIDIA WENYE SHIDA, SAMEHE NA SAHAU YANAYOKUUDHI, TUMIA MUDA MWINGI KUSAIDIA JAMII KWA KUBUNI NJIA ZA VIPATO KWA MANUFAA YAKO NA JAMII KWA UJUMLA. UKIFANYA HIVI UTAKUWA NA MWILI WENYE AFYA NA ROHO YENYE FURAHA. JIZUIE KUSENGENYA NA KUWAFANYIA WATU FITINA. +255762053174/+255621870342
Saturday, 19 April 2014
Dalili za kulogwa au kuwa na uchawi mwili au kuwa na majini
Dalili za kurogwa au kuwa na jini mwilini
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment